Christopher Mwahangila - Mungu Hawezi Kukusahau Lyrics

Mungu Hawezi Kukusahau Lyrics

Ooh Kweli na kwamba Danieli  
Alikuwa katikati ya simba wenye njaa kali 
Ooh Kweli na kwamba Danieli  
Alikuwa katikati ya simba wenye njaa kali 
Mbali na kwamba Shedraki na Abedinego 
Walitupwa kwenye tanuru la moto 
Watu wakajiuliza sana, tulitupa watatu 
Wanne amatoka wapi? 
Askari wakajiuliza, tulitupa watatu 
Wanne amatoka wapi?
Kumbe katikati ya taabu Mungu yupo 
Katikati ya mateso Mungu yupo 
Katikati ya taabu zako Mungu yuko 
Katikati ya vita kubwa Mungu yupo 
Hawezi kukusahau, Hawezi kukumbia 
Oh Mungu wetu hawezi kukusahau 

Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Usife Moyo ndugu wewe
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Usikate tamaa Mungu hawezi 
Mungu hawezi, hawezi
Mungu hawezi kukusahau 
Usijione uko pekee yako, aah 

Kwa nini umepanga kujiua wewe? 
Kwa nini umepanga kuikana imani yako?
Kwa nini umepanga kwenda kwa waganga wa kienyeji?
Unaona maisha yamefika mwisho 
Kwa nini umepanga kujiua wewe? 
Kwa nini umepanga kuikana imani yako?
Kwa nini umepanga kwenda kwa waganga wa kienyeji?
Umehangaika sana ndugu 
Ooh unaona kama dunia zima umeachwa pekee yako 
Ninalo neno nataka kusema na wewe 
Ninalo neno nataka kuzungumza nawe 
Hata upitie shida ndugu yangu 
Hata upitie magumu ndugu yangu 
Mungu yuko na wewe katikati ya majaribu 
Mungu yuko na wewe usikate tamaa 
Mungu yuko na wewe usipange kurudi nyuma 
Mungu wee hawezi kukusahau 
Mungu wee hawezi kukukimbia  
Mungu wee hawezi kukuacha wee 
Haweezi haweezi, Hawezi Mungu 

Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Usife Moyo ndugu wewe
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Usikate tamaa, usirudi nyuma 
Mungu hawezi, hawezi
Mungu hawezi kukusahau 



Ninataka nikutie moyo mama yangu wewe 
Ninataka nikutie moyo baba yangu wewe 
Ninataka nikutie moyo ndugu yangu wewe
Mungu hawezi , hawezi kukusahau x2 
Wanadamu wanaweza kukusahau 
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 
Wanadamu wanaweza kukukimbia 
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 
Wanadamu wanaweza wakakutenga 
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 
Wanadamu wanaweza wakakataa 
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 
Haweezi Mungu wangu, 
Haweezi Mungu wangu, aiyoo

Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Usife Moyo ndugu wewe
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Usikate tamaa, usirudi nyuma  
Mungu hawezi, hawezi
Usinung'unike
Mungu hawezi kukusahau 


Mungu Hawezi Kukusahau Video

Mungu Hawezi Kukusahau Song Meaning, Biblical Reference and Inspiration


"Mungu Hawezi Kukusahau" is a Swahili gospel song by Christopher Mwahangila, a talented Tanzanian gospel artist. The song's title translates to "God Cannot Forget You" in English. With its powerful message of encouragement, the song resonates with believers who may be facing challenges, trials, or moments of doubt in their faith journey.

Meaning and Inspiration:
"Mungu Hawezi Kukusahau" speaks to the unchanging character of God and His faithfulness towards His people. The song emphasizes that no matter the circumstances, God is always present and will never abandon His children. It serves as a reminder that God is aware of our struggles, and in His perfect timing, He will come through for us.

The inspiration behind this song is rooted in the biblical accounts of Daniel and his friends, Shedrach, Meshach, and Abednego. These individuals faced life-threatening situations, yet they remained steadfast in their faith, ultimately experiencing God's miraculous interventions. The song also draws inspiration from other biblical references that highlight God's faithfulness, such as Psalm 46:1, which states, "God is our refuge and strength, an ever-present help in trouble."

Bible Verses Relating to the Song:
1. Daniel 6:22 (NIV): "My God sent his angel, and he shut the mouths of the lions. They have not hurt me because I was found innocent in his sight. Nor have I ever done any wrong before you, Your Majesty."

This verse refers to the story of Daniel in the lion's den. It illustrates God's power to protect and deliver His faithful servants from harm. The song draws parallels between Daniel's situation and the challenges that believers may face today, assuring them that God's intervention is still possible.

2. Isaiah 43:2 (NIV): "When you pass through the waters, I will be with you; and when you pass through the rivers, they will not sweep over you. When you walk through the fire, you will not be burned; the flames will not set you ablaze."

This verse emphasizes God's promise of protection and preservation. Just as He was with Daniel's friends in the fiery furnace, God assures believers that He will be with them through every trial and tribulation. "Mungu Hawezi Kukusahau" echoes this promise, reminding listeners that God is present in their struggles.

3. Jeremiah 29:11 (NIV): "For I know the plans I have for you," declares the Lord, "plans to prosper you and not to harm you, plans to give you hope and a future."

This well-known verse assures believers of God's good plans for their lives. It encourages them to trust in His faithfulness and have hope for the future. The song "Mungu Hawezi Kukusahau" aligns with this promise, affirming that God's plans for His children are filled with prosperity and hope.

The Song's Impact:
"Mungu Hawezi Kukusahau" has had a significant impact on individuals across East Africa and the Swahili-speaking community globally. Its powerful lyrics, soothing melodies, and positive message have brought comfort and encouragement to many. The song's popularity can be attributed to its relatability, as it addresses universal human experiences such as fear, doubt, and the desire for God's intervention.

The Song's Lyrics:
The lyrics of "Mungu Hawezi Kukusahau" beautifully express the song's central theme and message of divine faithfulness. The song reassures listeners of God's unwavering presence and His ability to bring deliverance in the midst of trials and challenges. Here is a translation of a portion of the lyrics:

"Indeed, Daniel was in the midst of hungry lions
Indeed, Daniel was in the midst of hungry lions
And despite Shadrach, Meshach, and Abednego
Being thrown into the fiery furnace,
People wondered, 'How can three turn into four?'
Soldiers were perplexed, 'Where did the fourth come from?'
But in the midst of your troubles, know that God is there
In the midst of your suffering, God is there
In the midst of your struggles, God is there
In the midst of your battles, God is there
He will not forget you, He will not abandon you
Our God will never forget you"

Conclusion:
"Mungu Hawezi Kukusahau" is a powerful song that reminds believers of God's unwavering faithfulness and His presence in every moment of their lives. It draws inspiration from biblical stories of God's miraculous interventions and His promise to protect and deliver His children. The song's impact lies in its ability to uplift and encourage listeners, reminding them that God is always with them, even in their darkest moments. With its timeless message of hope and trust in God, "Mungu Hawezi Kukusahau" continues to inspire and strengthen the faith of believers worldwide. Mungu Hawezi Kukusahau Lyrics -  Christopher Mwahangila

Christopher Mwahangila Songs

Related Songs